November 06, 2024

Mkurugenzi wa Taasisi ya HakiRasilimali Adam Anthony "Wananchi wanapaswa kufurahia uwepo wa rasilimali katika maeneo yao. Anthony aliyasema  hayo  Novemba 05, 2024 wakati wa ufunguzi wa Jukwaa la uziduaji mwaka 2024 linaloendelea kwa siku mbili jijini Dodoma, na wadau wa sekta hiyo kutoka mataif...

Wananchi Wanapaswa Kufrahia Rasilimali Zao
Mkurugenzi wa Taasisi ya HakiRasilimali Adam Anthony "Wananchi wanapaswa kufurahia uwepo wa rasilimali katika maeneo yao. Anthony aliyasema  hayo  Novemba 05, 2024 wakati wa ufunguzi wa Jukwaa la uziduaji mwaka 2024 linaloendelea kwa siku mbili jijini Dodoma, na wadau wa sekta hiyo kutoka mataifa manne tofauti.

Naibu Waziri Mkuu Doto Biteko ndiye aliyelizindua Jukwaa hilo kwa mwaka huu mada kuu ni kuwezesha maendeleo endelevu ndani ya sekta uziduaji lakini pia masuala yahusuyo manufaa ya wananchi, ushiriki wa makundi tofauti na mazingira kwa ujumla. Akitoa neno la ufunguzi Anthony alianza kwa kuelezea shughuli  za taasisisi ya HakiRasilimali huku akisisitiza kuwa ina imani katika uwazi na ni chachu ya maendeleo ya sekta ya uziduaji. "Sekta ya uziduaji ni ya muhimu kwa Taifa na ninapongeza hatua za kisera zinazofanywa na Serikali, ni muhimu kwani wananchi wanapaswa kufurahia rasimali hizo" Aidha ameahidi kuwa HakiRasilimali itaendelea kushirikiana na wadau wote wanaoleta maendeleo katika sekta hiyo, akisisitiza kuwa uwazi chachu ya uwajibikaji.

Related Posts

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 02, 2025

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

ESKi Tanzania ni programu ya kukuza uwezo iliyoundwa ili kukuza na kuendeleza kizazi kipya cha viongozi, watetezi wa jamii na wataalamu wanaoshughulik...

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 01, 2025

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

Capacity-building opportunity for CSOs, youth and media to deepen technical expertise.

External audit services tender
Aug 14, 2025

External audit services tender

HakiRasilimali invites qualified firms to submit proposals for annual audit engagements.