November 09, 2023

Gerald Mturi "Sheria zetu zinataka kampuni za madini kufungua akaunti za benki hapa ndani (nchini) lakini ukweli ni kwamba benki zetu hazina uwezo wa kuhudumia" Anasema uamzi huo umesababisha changamoto ya upatikanaji wa mitaji kwa kampuni za madini jambo ambalo linazilazimu kuuza hisa zake ili kup....

Sheria zetu zinataka kampuni za madini kufungua akaunti za benki hapa ndani (nchini)
Gerald Mturi
"Sheria zetu zinataka kampuni za madini kufungua akaunti za benki hapa ndani (nchini) lakini ukweli ni kwamba benki zetu hazina uwezo wa kuhudumia" Anasema uamzi huo umesababisha changamoto ya upatikanaji wa mitaji kwa kampuni za madini jambo ambalo linazilazimu kuuza hisa zake ili kupata mtaji. "Wanashindwa kupata mikopo ya kulipa watu fidia na kuendeleza shughuli zao, benki zetu hazienda, wakienda nje wanakuta changamoto ya kutopewa mikopo kwakuwa hawana akaunti nao"

Related Posts

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 02, 2025

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

ESKi Tanzania ni programu ya kukuza uwezo iliyoundwa ili kukuza na kuendeleza kizazi kipya cha viongozi, watetezi wa jamii na wataalamu wanaoshughulik...

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 01, 2025

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

Capacity-building opportunity for CSOs, youth and media to deepen technical expertise.

External audit services tender
Aug 14, 2025

External audit services tender

HakiRasilimali invites qualified firms to submit proposals for annual audit engagements.