November 09, 2023

Mwenyekiti wa Bodi ya Hakirasilimali Jimmy Luhende: "Mataifa makubwa duniani yanatusukuma sisi (mataifa yanayoendelea) kwenye nishati safi lakini haimaanishi tukimbilie huko bila kujipanga" Amesema ni muhimu kabla ya kwenda kuhakikisha watu wanajengewa uwezo kupitia njia mbalimbali ikiwemo majukwaa....

Mataifa makubwa duniani yanatusukuma sisi (mataifa yanayoendelea) kwenye nishati safi lakini haimaanishi tukimbilie huko bila kujipanga
Mwenyekiti wa Bodi ya Hakirasilimali Jimmy Luhende: "Mataifa makubwa duniani yanatusukuma sisi (mataifa yanayoendelea) kwenye nishati safi lakini haimaanishi tukimbilie huko bila kujipanga" Amesema ni muhimu kabla ya kwenda kuhakikisha watu wanajengewa uwezo kupitia njia mbalimbali ikiwemo majukwaa kama haya. "Ni muhimu kuwa na mawazo yetu, maono yetu na muktadha wetu sanjari na kuangalia hata kasi ya kuhamia huko inayotufaa," amesemq Luhende wakati akitoa neno la ufunzi. Amesema kuhama ni jambo linalohitaji umakini huko akiuliza swali lililoleta mjadala miongoni mwa washiriki wa jukwaa hilo. "Kwanza wanasema tuhame lakini tujiulize tunahama tukitokea wapi, hapa tulipo tumefika kwani," ameuliza Luhende akimalizia na kicheko kifupi.

Related Posts

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 02, 2025

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

ESKi Tanzania ni programu ya kukuza uwezo iliyoundwa ili kukuza na kuendeleza kizazi kipya cha viongozi, watetezi wa jamii na wataalamu wanaoshughulik...

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 01, 2025

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

Capacity-building opportunity for CSOs, youth and media to deepen technical expertise.

External audit services tender
Aug 14, 2025

External audit services tender

HakiRasilimali invites qualified firms to submit proposals for annual audit engagements.