November 09, 2023

Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) Shirika la Wanawake katika shughuli za uziduaji (WIMO), Lightness Salema, ameishauri serikali kuweka utaratibu wa kuwapatia ujuzi wataalam wa ndani, kwa lengo la kuongeza mnyororo wa thamani katika sekta ya madini. Ametoa rai hiyo leo Novemba 9,2023 wakati wa mkutano wa mwa...

Ameishauri serikali kuweka utaratibu wa kuwapatia ujuzi wataalam wa ndani
Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) Shirika la Wanawake katika shughuli za uziduaji (WIMO), Lightness Salema, ameishauri serikali kuweka utaratibu wa kuwapatia ujuzi wataalam wa ndani, kwa lengo la kuongeza mnyororo wa thamani katika sekta ya madini. Ametoa rai hiyo leo Novemba 9,2023 wakati wa mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Uziduaji lililofanyika mkoani Dodoma, akasema: Ili kuhakikisha ujuzi unabaki kuwa faida ya Tanzania, wataalamu hao wapelekwe nje ya nchi kuingeza maarifa kwa maeneo mbalimbali, ikiwemo ukataji vito na uchorongaji miamba, lakini wawekewe utaratibu utakaowalazimu kurudi nchini, na sio kulowea kwa kutumikia na kunufaisha mataifa mengine. "Na kikubwa tuangalie vipaji na uwezo wa watanzania. Sio lazima anayepelekwa nje ya nchi awe na elimu ya juu. Kwa mfano, ukiangalia mtu anayekata vito vya thamani nchini India, hana hata shahada ya kwanza," amesema.

Related Posts

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi) 2026
Jul 21, 2026

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi) 2026

About the Programme ESKi Tanzania is a capacity development programme designed to nurture and empower the next generation of leaders, community advoca...

CALL FOR ABSTRACTS
Jun 12, 2026

CALL FOR ABSTRACTS

📢 CALL FOR ABSTRACTS HakiRasilimali invites researchers, academics, practitioners, policymakers, and civil society actors to submit abstracts for th...

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 02, 2025

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

ESKi Tanzania ni programu ya kukuza uwezo iliyoundwa ili kukuza na kuendeleza kizazi kipya cha viongozi, watetezi wa jamii na wataalamu wanaoshughulik...