November 09, 2023

Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) Shirika la Wanawake katika shughuli za uziduaji (WIMO), Lightness Salema, ameishauri serikali kuweka utaratibu wa kuwapatia ujuzi wataalam wa ndani, kwa lengo la kuongeza mnyororo wa thamani katika sekta ya madini. Ametoa rai hiyo leo Novemba 9,2023 wakati wa mkutano wa mwa...

Ameishauri serikali kuweka utaratibu wa kuwapatia ujuzi wataalam wa ndani
Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) Shirika la Wanawake katika shughuli za uziduaji (WIMO), Lightness Salema, ameishauri serikali kuweka utaratibu wa kuwapatia ujuzi wataalam wa ndani, kwa lengo la kuongeza mnyororo wa thamani katika sekta ya madini. Ametoa rai hiyo leo Novemba 9,2023 wakati wa mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Uziduaji lililofanyika mkoani Dodoma, akasema: Ili kuhakikisha ujuzi unabaki kuwa faida ya Tanzania, wataalamu hao wapelekwe nje ya nchi kuingeza maarifa kwa maeneo mbalimbali, ikiwemo ukataji vito na uchorongaji miamba, lakini wawekewe utaratibu utakaowalazimu kurudi nchini, na sio kulowea kwa kutumikia na kunufaisha mataifa mengine. "Na kikubwa tuangalie vipaji na uwezo wa watanzania. Sio lazima anayepelekwa nje ya nchi awe na elimu ya juu. Kwa mfano, ukiangalia mtu anayekata vito vya thamani nchini India, hana hata shahada ya kwanza," amesema.

Related Posts

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 02, 2025

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

ESKi Tanzania ni programu ya kukuza uwezo iliyoundwa ili kukuza na kuendeleza kizazi kipya cha viongozi, watetezi wa jamii na wataalamu wanaoshughulik...

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 01, 2025

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

Capacity-building opportunity for CSOs, youth and media to deepen technical expertise.

External audit services tender
Aug 14, 2025

External audit services tender

HakiRasilimali invites qualified firms to submit proposals for annual audit engagements.