Uelekeo wa Uwajibikaji katika Upatikanaji Rasilimali Tanzania: Kuimarisha Ushiriki katika Majukwaa ya Kimataifa
Darubini
2024
Karibu katika toleo la sita la DARUBINI, Toleo hili la DARUBINI linasisitiza umuhimu wa majukwaa ya kimataifa yenye mjumuiko wa wadau mbalimbali hasa katika majadiliano yanayohusu miongozo ya kiuwajibikaji katika upatikanaji wa rasilimali ambayo ni suluhu katika changamoto za haki za binadamu, athari za kimazingira.Toleo hili limeangazia kwa kina hasa ushiriki wa serikali katika kupelekea na kuchochea miongozo, kanuni na viwango vya uwajibikaji katika mnyororo wa ugavi wa madini. Vilevile toleo hili limejumuisha sauti za jamii zinazo ibua na kutoa picha halisi kuhusu masuala ya haki za binadamu katika shughuli zinazo fanyika ndani ya sekta ya uziduaji.
Read the Briefing: https://www.hakirasilimali.or.tz/storage/wp-content/uploads/2024/11/Darubini-Quartely-three-Swahili-version.pdf
Read the Briefing: https://www.hakirasilimali.or.tz/storage/wp-content/uploads/2024/11/Darubini-Quartely-three-Swahili-version.pdf
Themes
Darubini
Get This Resource
Publication Details
- Year
- 2024
- Published
- November 28, 2024
Resource Type
publication
Related Resources
Darubini
Land Acquisition and Access to Remedies in Tanzania’s Extractive Sector: Gaps i...
Welcome to the tenth edition of DARUBINI, our quarterly briefing on justice and human rights in natural resource governa...
2025
Read More
Darubini
Access to Justice in Tanzania’s Mining Sector: Preparing for the Critical Minera...
Welcome to the Ninth edition of DARUBINI, our quarterly briefing on Access to Justice in Tanzania’s Mining Sector: Prepa...
2025
Read More
Darubini
Chinese Investment in Tanzania’s Small-Scale Mining: The Challenge of Technical...
Welcome to the Eighth edition of DARUBINI, our quarterly briefing on Chinese Investment in Tanzania’s Small-Scale Mining...
2025
Read More